Tuesday, April 8, 2014
CHELSEA HONGERA KWA KUIFUNGA PSG
Chelsea hongereni sana kwa kuwafunga mabingwa wa ufaransa PSG Kwani mmeonyesha uzalendo wa ukwely na uwezo binafsi ongera special one
Sunday, April 6, 2014
JELA KWA KUMKATAKATA MKEWE KWA PANGA
Bwana Haridi mussa 38 amehukumiwa kuenda jela miezi 6 kwa kosa la kumkata vidole vya mikono mkewe mwajuma iddi huko kijiji Wilayani Nkasi mwambao W.TANGANXIKA
Thursday, April 3, 2014
BAJAJI BODABODA MARUFUKU KUBEBA MTOTO MIAKA 9
Mamlaka ya usafiri nchi kavu na majini imepiga marufuku bajaji na bodaboda kubeba watoto wadogo kuanzia miaka 9 kwani ni hatari kwa afya yao
Subscribe to:
Posts (Atom)