Tuesday, April 8, 2014

CHELSEA HONGERA KWA KUIFUNGA PSG

Chelsea hongereni sana kwa kuwafunga mabingwa wa ufaransa PSG Kwani mmeonyesha uzalendo wa ukwely na uwezo binafsi ongera special one

Sunday, April 6, 2014

JELA KWA KUMKATAKATA MKEWE KWA PANGA

Bwana Haridi mussa 38 amehukumiwa kuenda jela miezi 6 kwa kosa la kumkata vidole vya mikono mkewe mwajuma iddi huko kijiji Wilayani Nkasi mwambao W.TANGANXIKA

Thursday, April 3, 2014

BAJAJI BODABODA MARUFUKU KUBEBA MTOTO MIAKA 9

Mamlaka ya usafiri nchi kavu na majini imepiga marufuku bajaji na bodaboda kubeba watoto wadogo kuanzia miaka 9 kwani ni hatari kwa afya yao