Friday, March 28, 2014
JK WATAKAO VULUGA BUNGE LA KATIBA ITATUMIKA YA ZAMANI.TU
Baada ya vulugu kuwa nyingi bungeni mh Rais Jakaya kikwete amesema watakao sababisha bunge kufungwa itabidi katiba isiwepo kabisa baada ya kuona vulugu haziishi
Sunday, March 23, 2014
KHAMIS KIGWANGALA ANUSURIKA KUFA KWA RISASI.
Mbunge wa jimbo la nzega tabora amenusurika kufa kwa kukoswa na risasi iliyopigwa na polisi na kupiga mwingine kwenye paji la uso kutoka kwenye mtaandao wake
Friday, March 21, 2014
MBUNGE AANGUSHA CHOZI HADHALANI
Mbunge wa simanjiri mh GEMBE SUGU ameangusha choozi hadharani kisa kuona wabunge wengi wanaunga mkono suala la kura za siri kwenye katiba mpya.
Thursday, March 20, 2014
SERIKALI YA KATAZA KUTUMIA BITHAA ZA PEMBE ZA NDOVU
Serikali imekataza kutokutumia bidhaa za ndovu ilikuzuia ujangili akiongea hayo waziri ya mali asili na utarii alisema wafanyabiashara waangalie hilo
Monday, March 17, 2014
POLISI 4 WATIMULIWA KAZI KWA WIZI
Polisi 4 wa jiji la dar es salam wametimuliwa kazi kwa wizi imethibitishwa na Kamanda KOVA polisi hao ni: Rajabu mkwenda maarufu Ugoro mwingine ni SIMON, ALBERNUS NA SELEMAN
CHADEMA HOI KALENGA KURA 20% CCM 70%
Chadema imepiga mwereka wanguvu huku ccm ikisema kuwa hiyo ni rasharasha tu bado mvua kamili. Je wamejipanga vilivyo?
Saturday, March 15, 2014
MKE WA SLAA WAKWANZA MBALONI
Mke wa katibu mkuu wa chadema dr slaa amekamatwa na police jana majira ya saa 4:00 jioni huku tukifuatilia chanzo tutawajulisha kupitia page yetu
Friday, March 14, 2014
SITA ATAHUMUDU CHANGAMOTO ZA BUNGE LA KATIBA?
Mwenyekiti rasmi sasa ni Mh samwel Sitta je kwa maoni yako anaweza kuhumudu mikiki mikiki ya bunge hilo?
WAENDESHA BODABODA KAHAMA WAPEWA MAFUNZO YA UMUHIM WA TOHARA
Waendesha bodabod zaidi 300 wilayani kahama shy wapewa mafunzo juu ya umuhimu wa tohara ili kujikinga na ukimwa huku shy ndo ukiwa mkoa wenye maambukizi makubwa ya ukimwi
Wednesday, March 12, 2014
KWA HERI ARSENAL WENZAKO WANAFUATA
Jana Arsenal imeondolewa kwenye mashindano ya UEFA huku zikibaki timu 3 za ungeleza na zote zilifanya vibaya Je unafikiri kuna time itavuka hapo.
Tuesday, March 11, 2014
Shaffih Dauda in Sports.: MECHI YA STAND, KANEMBWA MEZANI TENA
Shaffih
Dauda in Sports.: MECHI YA STAND, KANEMBWA MEZANI TENA:
Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Tanzania (TFF) imeiagiza
Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) ifanyie marejeo (review) uamuzi wa...
Dauda in Sports.: MECHI YA STAND, KANEMBWA MEZANI TENA:
Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Tanzania (TFF) imeiagiza
Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) ifanyie marejeo (review) uamuzi wa...
Monday, March 10, 2014
IKULU YA KANASHA RAIS JAKAYA KIKWETE KUMTEMBELEA MARANDA
Ikulu imekanusha rais kikwete kumtembelea maranda aliye fungwa jela kwa kosa la wizi wa fedha za EPA miaka 18 huku kukiwa na taarifa ya kuwa hakuenda pale kumtembelea maranda ila alienda kuona wagonjwa
Saturday, March 8, 2014
NDEGE YA MALAYSIA YA POTE NA WATU 239
Ndege ya shirika la ndege ya malaysia imepotea angani ikiwa na watu 239 kabla ya kufika KAULALUMPA haijajulikana kama wamekufa au vipi.
Friday, March 7, 2014
YANGA YAWATAHADHARISHA MASHABIKI KUTOKUSOMA BLOG YA BINI ZUBERY
Klabu ya yanga imewakataza mashabiki kusoma blog hiyo kwa sababu inaandika uongo na kutaka kuvuluga klabu ya yanga
JE KUTIMULIWA KIM POUSEN KUTABADILISHA TIME YA TAIFA?
Naiji maoni yenu wadau wasoka kuhusu hili na haya maamuzi Ya TFF.
VULUGU BUNGE LA KATIBA
Vulugu zilizuka jana baada ya wabunge kutaka kuzipiga wakidai kutokupewa nafasi kuchangia hoja hukuwakipewa wabunge watatu bunge nzima
Wednesday, March 5, 2014
CHADEMA YA TAFUTA MGOMBEA UBUNGE CHALINZE
Chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA kimesema kipo katika mchakato wa kutafuta nani atagombea ubunge jimbo la chalinze. Toka jana fomu zimeanza kutoka. Huku CCM tayari kula zimesha pigwa na liziwan kikwete kashinda kula hizo.By hamisi
BUNGE LA KATIBA MPYA SASA RAFURAHIA
Bunge la katiba la ruhusiwa kutumia hati ya muungano kama kilelezo cha hoja ndani ya bunge kwa maoni ya wabunge nimeongea nao wamefurahishwa na jambo hilo kwani litasaidia kuongea jambo wanalijua
Tuesday, March 4, 2014
DUNIA IMEKWISHA BAADA YA KULEWA
Watu wawili wamechapwa viboko hadharani na walevi wenzao baada ya kulewa na kuanza kufanya mapenzi hadharani ikawa ni taflani kubwa bar hapo imetokea Ushirombo wilaya ya kahama By Hamisi Omari
Monday, March 3, 2014
Subscribe to:
Posts (Atom)