Tuesday, March 4, 2014

DUNIA IMEKWISHA BAADA YA KULEWA

Watu wawili wamechapwa viboko hadharani na walevi wenzao baada ya kulewa na kuanza kufanya mapenzi hadharani ikawa ni taflani kubwa bar hapo imetokea Ushirombo wilaya ya kahama By Hamisi Omari

No comments:

Post a Comment