Wednesday, March 5, 2014

CHADEMA YA TAFUTA MGOMBEA UBUNGE CHALINZE

Chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA kimesema kipo katika mchakato wa kutafuta nani atagombea ubunge jimbo la chalinze. Toka jana fomu zimeanza kutoka. Huku CCM tayari kula zimesha pigwa na liziwan kikwete kashinda kula hizo.By hamisi

No comments:

Post a Comment